34 Basi yule bwana akakasirika sana, akamutoa mutumishi yule aazibiwe mpaka atakapolipa lile deni lake.”
Lakini hakutaka, akamupeleka katika kifungo mpaka atakapolipa deni lile.
Wewe vilevile ulipaswa kumuhurumia mutumishi mwenzako sawa vile mimi nilivyokuhurumia.’
Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi vilevile Baba yangu anayekuwa mbinguni atakavyowatendea ninyi, kama kila mumoja wenu asipomusamehe ndugu yake kwa moyo wake wote.”
Kwa sababu Mungu hatahurumia mutu yule asiyehurumia wengine. Lakini huruma ya Mungu itaishinda hukumu.