Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 18:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Nao watumishi wenzake walipoona jambo hilo, wakahuzunika sana, wakaenda kumwelezea bwana wao yote yaliyotokea.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 18:31
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hizi ndizo habari za ukoo wa Yakobo. Yosefu, akiwa kijana wa umri wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo na mbuzi pamoja na wandugu zake, wana wa Biliha na Zilpa, wake za baba yake. Yosefu akakuwa anamujulisha baba yake juu ya tabia mbaya za wandugu zake.


Macho yangu yanatiririka machozi kama muto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.


Ninapowaona waasi hao ninachukizwa sana, kwa sababu hawashiki amri zako.


Heri ningepata kibanda cha wasafiri katika jangwa, ningewaacha watu wangu na kujiendea. Wote ni wazinzi, ni kundi la watu waasi.


Mutawala huyu akahuzunika, lakini kwa sababu ya viapo alivyotoa na kwa sababu ya waalikwa, akaamuru binti yule apewe kichwa kile.


“Mutumishi yule alipoondoka, akakutana na mumoja wa watumishi wenzake aliyekuwa na deni lake la vikoroti mia moja vya feza. Akamukamata na kumunyonganyonga shingo na kumulazimisha kulipa deni lake.


Lakini hakutaka, akamupeleka katika kifungo mpaka atakapolipa deni lile.


Halafu yule bwana akamwita mutumishi yule na kumwambia: ‘Wewe ni mutumishi mubaya! Mimi nilikusamehe deni lako lote, kwa sababu ulinisihi.


Yesu akawakazia macho kwa kasirani, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wao. Akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Akaunyoosha, nao ukakuwa muzima tena.


Basi yule mutumishi akarudia na kumwelezea bwana wake maneno hayo yote. Halafu bwana wa nyumba akakasirika, na kumwambia: ‘Kwenda upesi katika nafasi za mukutano na katika barabara za muji, uwalete wamasikini, vilema, vipofu na viwete na kuwaingiza humu.’


Yesu alipokaribia muji wa Yerusalema, na alipouona, akaulilia,


Mufurahi pamoja na wenye kufurahi. Mulie pamoja na wenye kulia.


Ninasikia haya ya kuisema: tumekuwa zaifu kwa kufanya vile! Lakini kama watu wengine wanasubutu kujivuna juu ya kitu chochote, mimi vilevile nitajivuna. Sasa ninasema kama vile mupumbafu.


Mutii waongozi wenu na kushika maagizo yao. Kwa maana wao wanashugulika kila mara kwa ajili ya roho zenu, na wao wanapaswa kutoa habari ya kazi yao mbele ya Mungu. Kwa kufanya vile mutawaruhusu kufanya kazi yao kwa furaha wala si kwa huzuni, kwa maana haitawafalia kitu kama wakitumika katika huzuni.


Muwakumbuke wale wanaofungwa, mukijisikia sawa vile wenye kufungwa pamoja nao. Vilevile muwakumbuke wale wanaoteswa, mukijisikia sawa vile wenye kuteswa kama wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ