30 Lakini hakutaka, akamupeleka katika kifungo mpaka atakapolipa deni lile.
Uwaambie wamutie katika gereza na kumukulisha mukate kidogo na maji, mpaka nitakaporudi salama.”
Anayekataa kusikia kilio cha masikini hatasikilizwa atakapolilia musaada.
Huyo mutumishi mwenzake akamupigia magoti na kumusihi, akisema: ‘Ninakuomba univumilie, nami nitakulipa deni lako!’
Nao watumishi wenzake walipoona jambo hilo, wakahuzunika sana, wakaenda kumwelezea bwana wao yote yaliyotokea.