Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 18:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Huyo mutumishi mwenzake akamupigia magoti na kumusihi, akisema: ‘Ninakuomba univumilie, nami nitakulipa deni lako!’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 18:29
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi mutumishi yule akamupigia bwana wake magoti, akamusihi, akisema: ‘Ninakuomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote!’


“Mutumishi yule alipoondoka, akakutana na mumoja wa watumishi wenzake aliyekuwa na deni lake la vikoroti mia moja vya feza. Akamukamata na kumunyonganyonga shingo na kumulazimisha kulipa deni lake.


Lakini hakutaka, akamupeleka katika kifungo mpaka atakapolipa deni lile.


Wewe vilevile ulipaswa kumuhurumia mutumishi mwenzako sawa vile mimi nilivyokuhurumia.’


Utusamehe makosa yetu, kama sisi tunavyowasamehe wanaotukosea,


Ni Epafra mutumishi mwenzetu mupenzi, ndiye aliyewafundisha ninyi habari zile. Yeye ni mutumishi mwaminifu wa Kristo kwa ajili yetu.


Ndugu yetu mupendwa Tikiko mutumishi mwaminifu, na mwenzangu tunayetumika naye kazi ya Bwana atawapasha ninyi habari zangu zote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ