Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 18:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 “Hivi, kweli ninawaambia: chochote mutakachokikataza katika dunia kitakatazwa mbinguni vilevile, na chochote mutakachokiruhusu katika dunia, kitaruhusiwa mbinguni vilevile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 18:18
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni; chochote utakachokikataza katika dunia, kitakatazwa mbinguni vilevile, na chochote utakachokiruhusu katika dunia, kitaruhusiwa mbinguni vilevile.”


Watu wote mutakaowasamehe zambi, watasamehewa; nao wote musiowasamehe, hawatasamehewa.”


Wakati munaposamehe mutu, nami ninamusamehe vilevile. Kwa maana kama ninasamehe, na ikiwa kweli ninakuwa na neno lolote la kusamehe, ninasamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ