Matayo 18:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Lakini kama akikataa kukusikia, utwae mutu mumoja au wawili na kumwendea pamoja nao, kusudi kila neno lihakikishwe kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu, sawa vile Maandiko Matakatifu yanavyosema. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |