8 Nao walipoinua macho yao, hawakumwona mutu mwingine, isipokuwa Yesu peke yake.
Lakini Yesu akawajongelea, akawagusa na kuwaambia: “Musimame, musiogope.”
Walipokuwa wakishuka toka kwa mulima, Yesu akawaamuru: “Musimwelezee mutu mambo muliyoona mpaka Mwana wa Mutu atakapofufuka.”
Mara moja wanafunzi waliangalia pande zao zote, hawakumwona mutu mwingine pamoja nao, isipokuwa Yesu peke yake.
Nyuma ya kusikilika kwa sauti ile, Yesu akaonekana amebaki peke yake. Wale wanafunzi wakachunga mambo hayo yote kwa siri wala hawakumwambia mutu neno katika siku zile.