Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 17:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Lakini Yesu akawajongelea, akawagusa na kuwaambia: “Musimame, musiogope.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 17:7
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hapo, mukono ukanigusa, ukanisimamisha, na kuimarisha miguu na mikono yangu.


Yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa kwa mara ingine, akanitia nguvu.


Alipokuwa anazungumuza nami, mimi nikashikwa na usingizi muzito nikiwa nimelala uso mpaka chini. Lakini yeye akanishika na kunisimamisha.


yule mutu Gabrieli, ambaye nilikuwa nimemwona katika maono hapo mbele, alishuka kwa haraka mpaka pahali nilipokuwa. Ilikuwa wakati wa kutoa sadaka ya magaribi.


Lakini mara moja Yesu akasema nao, akiwaambia: “Mujipe moyo, ni mimi! Musiogope!”


Wanafunzi wale waliposikia sauti ile, wakaogopa sana, wakaanguka uso mpaka chini.


Nao walipoinua macho yao, hawakumwona mutu mwingine, isipokuwa Yesu peke yake.


Kwa sababu ya woga, wale wanawake wakainama uso mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia: “Kwa sababu gani munamutafuta yule anayekuwa muzima kati ya waliokufa?


Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”


Wakati nilipomwona, nikaanguka chini kwa rafla mbele yake kama vile mufu. Lakini akaweka mukono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ