13 Halafu wanafunzi wakafahamu kwamba alisema nao juu ya Yoane Mubatizaji.
Na ikiwa munasadiki, Yoane ndiye nabii Elia aliyepaswa kuja.
Lakini ninawaambia kama Elia amekwisha kurudi, nao hawakumutambua, lakini walimutendea yote waliyotaka. Ni vile ndivyo Mwana wa Mutu atateswa nao vilevile.”
Yesu na wanafunzi wake waliendelea hata wakafika kwenye kundi la watu. Pale mutu mumoja akamwendea Yesu, akapiga magoti mbele yake,
Katika siku zile Yoane Mubatizaji alitokea akihubiri katika jangwa la Yudea