Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 16:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wanafunzi wakaanza kusemezana hivi wao kwa wao: “Anasema hivi kwa sababu hatuna mikate.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 16:7
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yesu akawaambia: “Muangalie vizuri, mujiepushe na chachu ya Wafarisayo na Wasadukayo.”


Yesu akatambua maneno waliyosema, basi akawauliza: “Ee ninyi wenye imani ndogo, sababu gani munasemezana kati yenu juu ya kukosa mikate?


Yoane alipata mamlaka ya kubatiza kutoka kwa nani? Kwa Mungu au kwa watu?” Nao wakaanza kupiga mafikiri pamoja na kusema: “Kama tukijibu kwamba mamlaka yake yalitoka kwa Mungu, atatuuliza: ‘Kwa sababu gani basi hamukumwamini?’


Wao walitii agizo hilo, lakini wakaanza kuulizana: “Maana ya kufufuka huku ni gani?”


Walipokuwa wakiongea na kuulizana, Yesu mwenyewe akafika karibu nao, akaendelea kutembea pamoja nao,


Wanafunzi waliingiwa na wazo la kutafuta kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.


Lakini Petro akajibu: “Hapana, hata kidogo Ee Bwana! Mimi sijakula bado kitu chochote kisichoruhusiwa kukuliwa, wala chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ