Matayo 16:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Tangia wakati ule Yesu akaanza kuwaambia wanafunzi wake waziwazi kwamba ni sherti kwake kwenda Yerusalema, ateswe kule na wasimamizi wa watu, wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria, auawe, na kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |