Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 15:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 basi, hapaswi tena kumusaidia baba yake. Hivi munazarau Neno la Mungu kwa kufuata desturi zenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 15:6
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee Yawe, sasa ni wakati wa kutenda kitu, kwa maana watu wanavunja sheria yako.


Upendo wangu kwako unanifanya niwake hasira, maana waadui zangu hawajali maneno yako.


Ninyi munajidai kwamba muko na hekima, nanyi munafuata amri zangu mimi Yawe. Lakini kalamu ya uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.


Watu wangu wameangamia kwa kutonijua, maana wewe kuhani umekataa mafundisho. Nimekukataa kuwa kuhani wangu. Kwa maana umeisahau sheria ya Mungu wako, nami vilevile nitawasahau watoto wako.


Lakini ninyi munasema kwamba mutu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia baba yake au mama yake, lakini akimwambia kwamba amekitoa sadaka kwa Mungu,


Ninyi wanafiki! Isaya alitabiri vema juu yenu, wakati aliposema maneno haya:


Hivi munazarau Neno la Mungu kwa ajili ya desturi zenu munazopokezana. Nanyi munafanya mambo mengine mengi ya namna ile.”


Basi ni kusema kwa sababu ya imani ile tunaitupilia Sheria? Hapana hata kidogo! Lakini tunasimamisha Sheria.


Lakini kama mwamini yeyote akiwa na wajane katika jamaa lake, anapaswa kuwasaidia kusudi kanisa lisilemewe. Na hivi kanisa nalo litaweza kuwasaidia wale wajane wasiokuwa na tegemeo lolote.


Kama mutu asipotunza wandugu zake na hasa zaidi watu wa jamaa yake mwenyewe, huyu amekana imani yake naye ni mubaya kuliko mupagani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ