39 Kisha kuaga yale makundi ya watu, Yesu akaingia ndani ya chombo, na kwenda pande za Magadani.
Mara moja kisha mambo hayo, Yesu akawalazimisha wanafunzi wake waingie ndani ya chombo na kumutangulia ngambo ingine ya ziwa. Kwa wakati ule yeye alibaki akiaga lile kundi la watu.
Watu waliokula walikuwa wanaume elfu ine, pasipo kuhesabu wanawake na watoto.
Na kwa kuona uwingi wa watu wale, Yesu akawaambia wanafunzi wake wamutayarishie chombo kidogo kusudi wasimusonge.
mara moja Yesu akaingia ndani ya chombo pamoja na wanafunzi wake, akaenda katika jimbo la Dalmanuta.