37 Wote wakakula na wakashiba. Kisha wanafunzi wakaokota vipande vilivyobaki, wakajaza vitunga saba.
Mutumishi wake akawatayarishia chakula, wakakula na kushiba, na kingine kikabaki, kama vile Yawe alivyosema.
Yeye anakunywesha wenye kiu; na anashibisha wenye njaa mazuri.
Nao wanafunzi wake wakamujibu: “Hapa katika pori, tutaweza kupata wapi chakula cha kushibisha kundi kubwa kama hili?”
Watu waliokula walikuwa wanaume elfu ine, pasipo kuhesabu wanawake na watoto.
Anawatajirisha wenye njaa, lakini amewaacha watajiri mikono mitupu.
lakini siku moja usiku wanafunzi wa Saulo wakamutwaa, wakamuweka ndani ya kitunga na kumutelemusha na kamba inje ya ukuta.