34 Yesu akawauliza: “Muko na mikate ngapi?” Nao wakajibu: “Tuko na mikate saba na samaki ndogo chache.”
Nao wanafunzi wake wakamujibu: “Hapa katika pori, tutaweza kupata wapi chakula cha kushibisha kundi kubwa kama hili?”
Basi Yesu akawaamuru watu waikae chini.