Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 15:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Yesu akaondoka pale na kwenda pande za karibu na muji wa Tiro na wa Sidona.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 15:21
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Zebuluni ataishi pembeni ya bahari, kivuko chake kitakuwa pahali pa kuegesha mashua. Mupaka wa inchi yake ni Sidona.


Mambo haya ndiyo yanayomuchafua mutu! Lakini kula pasipo kunawa mikono hakuwezi kumuchafua mutu.”


Yawe akawatia katika mikono ya Waisraeli, nao wakawashinda na kuwafukuza mpaka Sidona muji mukubwa na Misirepotaimu, mpaka upande wa mashariki katika bonde la Misipa. Waisraeli wakawapiga na kuwaua wote.


vilevile eneo la milima inayokuwa kati ya Lebanoni na Misirepoti-Maimu ambayo wakaaji wake ni Wasidoni. Kadiri na jinsi Waisraeli watakavyoendelea mbele, mimi mwenyewe nitayafukuza mataifa hayo katika inchi hizo mbele yao. Nawe utawagawanyia Waisraeli sehemu mbalimbali za inchi hizo kwa kura kama nilivyokuamuru.


Watu wa kabila la Aseri hawakuwafukuza wakaaji wa miji ya Ako, Sidona, Alabu, Akizibu, Helba, Afika na Rehobu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ