15 Halafu Petro akamwambia: “Utuelezee maana ya mufano huu.”
“Basi musikilize maana ya ule mufano wa mupandaji wa mbegu.
Halafu Yesu akaagana na makundi ya watu na kurudi kwenye nyumba. Wanafunzi wake wakamwendea na kumwambia: “Utufasirie maana ya ule mufano wa nyasi katika shamba.”
Yesu akamujibu: “Hata ninyi vilevile hamuwezi kuelewa?
Hakusema nao pasipo kutumia mifano lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao, aliwafasiria mambo yote.
Wakati Yesu alipoachana na kundi na kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza maana ya mufano ule.
Basi wanafunzi wake wakamwambia: “Sasa unasema waziwazi pasipo kutumia mifano.