Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 14:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Naye Yoane alikuwa amemwambia Herode kwamba hana sheria ya kumwoa yule muke wa ndugu yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 14:4
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Natani akamwambia Daudi: “Wewe ndiwe mutu yule! Sasa, Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mimi nilikupakaa mafuta ukuwe mufalme juu ya Israeli. Nilikuokoa toka katika mikono ya Saulo.


Umwambie, Yawe anasema hivi: ‘Umeua na kutwaa mali yake vilevile?’ Umwambie Yawe anasema hivi: ‘Pahali pale imbwa walipoilambulia damu ya Naboti, ndipo watakapoilambulia damu yako.’ ”


Waovu wanakimbia ijapokuwa hawafukuzwi na mutu, lakini wenye haki ni hodari kama simba.


Watu wanaovunja sheria wanasifu waovu, lakini wanaoshika sheria wanapingana nao.


Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwangaza. Lakini ninyi mushike lile agizo na mafundisho ya Mungu.


Kisha, nabii Yeremia akamwelezea Zedekia, mufalme wa Yuda, maneno hayo yote huko Yerusalema,


Usilale na muke wa ndugu yako, huyo ni shemeki yako.


Kama mwanaume akimwoa muke wa ndugu yake, anamupatisha ndugu yake haya, huo ni uchafu; wote wawili watakufa bila watoto.


Yoane alikuwa amemwambia kwamba hana sheria ya kumwoa yule muke wa mudogo wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ