Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 14:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Nao wote wawili walipopanda ndani ya chombo, upepo ukatulizana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 14:32
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mara moja Yesu akanyoosha mukono, akamushika na kumwambia: “Ee wewe mwenye imani ndogo! Kwa sababu gani uliona shaka?”


Basi wanafunzi waliokuwa ndani ya chombo wakapiga magoti mbele ya Yesu, wakisema: “Kweli wewe ni Mwana wa Mungu!”


Halafu wakaogopa sana, nao wakaanza kuulizana: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”


Kisha akaingia ndani ya chombo walimokuwa, na upepo ukakoma. Kwa hiyo wanafunzi wakashangaa sana,


Wao walitaka kumupandisha ndani ya chombo lakini mara moja chombo kikafikia inchi kavu, pahali walipokuwa wakienda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ