Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 14:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Nao walipomwona akitembea juu ya maji wakashikwa na hofu, wakisema: “Ni muzimu!” Nao wakaanza kulalamika kwa ajili ya woga.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 14:26
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

lakini hawakuona maiti yake. Basi wakarudia kutuelezea kwamba wamalaika waliwatokea na kuwaambia kwamba yeye ni muzima.


Wakashituka na kuogopa, wakizani kwamba wameona muzimu.


Halafu akawafungua akili kusudi wapate kufahamu Maandiko Matakatifu


Kwa sababu ya woga, wale wanawake wakainama uso mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia: “Kwa sababu gani munamutafuta yule anayekuwa muzima kati ya waliokufa?


Nao wakamwambia: “Uko na wazimu!” Lakini akakaza kusema kwamba ni kweli. Basi wakasema: “Ni malaika wake.”


Wakati nilipomwona, nikaanguka chini kwa rafla mbele yake kama vile mufu. Lakini akaweka mukono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ