Aliwaona wanafunzi wake wakitaabika kwa kuendesha chombo sababu upepo ulikuwa ukiwarudisha nyuma. Basi ilipokuwa karibu na mapambazuko, Yesu akawafikia akitembea juu ya maji, akitaka kuwapita.
Kisha nikasikia tena sauti kutoka mbinguni ikiniambia: “Kwenda utwae kile kitabu kidogo chenye kufunguliwa katika mukono wa yule malaika anayesimama juu ya bahari na juu ya inchi kavu.”