Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 14:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Halafu akawaambia wasimamizi waliokuwa chini yake: “Mutu huyu ni Yoane Mubatizaji aliyefufuka! Ni kwa sababu hii amepata uwezo wa kufanya miujiza.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 14:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Kweli ninawaambia: kati ya watu wanaoishi katika dunia, hakuna mutu anayekuwa mukubwa kuliko Yoane Mubatizaji. Lakini yeyote anayeonekana kuwa mudogo katika Ufalme wa mbinguni anahesabiwa kuwa mukubwa kuliko yeye.


Nao wakamujibu: “Wamoja wanasema kwamba yeye ni Yoane Mubatizaji; wengine wanasema kwamba yeye ni Elia, na wengine wanasema ni Yeremia au mumoja wa manabii wengine.”


Katika siku zile Yoane Mubatizaji alitokea akihubiri katika jangwa la Yudea


Mufalme Herode alisikia habari za Yesu, kwa maana jina lake lilikuwa limevuma fasi zote. Watu wamoja walisema: “Huyu ni Yoane Mubatizaji aliyefufuka! Ni kwa sababu hii amepata uwezo wa kufanya miujiza.”


Nao wakamujibu: “Wamoja wanasema kwamba wewe ni Yoane Mubatizaji; wengine wanasema kwamba wewe ni nabii Elia na wengine wanasema kwamba wewe ni mumoja wa manabii wengine.”


Liwali Herode akasikia habari za mambo yote yaliyofanyika. Kwa hiyo akafazaika kwa sababu watu wamoja walikuwa wakisema kwamba Yoane Mubatizaji amefufuka.


Watu wengi wakamufikia na kusema: “Yoane hakuonyesha hata kitambulisho kimoja, lakini maneno yote aliyoyasema juu ya mutu huyu yalikuwa ya kweli.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ