17 Lakini wao wakamujibu: “Hapa tuko tu na mikate mitano na samaki mbili.”
Lakini Yesu akawajibu: “Si lazima waende; ninyi wenyewe muwape chakula.”
Yesu akawaambia: “Muvilete hapa.”
Hamujaelewa bado? Hamukumbuki ile mikate mitano niliyoshibisha nayo watu elfu tano, nayo ile hesabu ya vitunga mulivyojaza?
Lakini Yesu akawajibu: “Ninyi wenyewe muwape chakula!” Nao wakajibu: “Sisi tuko tu na mikate mitano na samaki mbili. Unataka sisi wenyewe tuende kuwanunulia watu hawa wote chakula?”