Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 14:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika siku zile, Herode, liwali wa jimbo la Galilaya, akasikia habari za Yesu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 14:1
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na hivi kwa sababu ya kutokuamini kwa watu hao, Yesu hakufanya miujiza mingi kule.


Habari za jambo hili zikaenea katika inchi ile yote.


Lakini wakaenda na kuanza kutangaza habari za Yesu katika inchi ile yote.


Yesu akawaagiza: “Mujiangalie vizuri, mujiepushe na chachu ya Wafarisayo na ya Herode.”


Hata Herode vilevile hakumwona na kosa; na ni kwa sababu hii amemurudisha kwetu. Mutu huyu hakufanya hata kosa moja linalomustahili kuhukumiwa kufa.


Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Tiberio mufalme wa Roma, Pontio Pilato alikuwa liwali wa jimbo la Yudea, na Herode alikuwa mutawala wa jimbo la Galilaya na ndugu yake Filipo alikuwa mutawala wa inchi ya Iturea na ya Tarakoniti. Vilevile Lisania alikuwa mutawala wa inchi ya Abilene,


Yoane alimukaripia mutawala Herode juu ya kumwoa Herodia, muke wa ndugu yake Filipo na juu ya mabaya mengine.


na Yoana muke wa Kuza, huyo mume wake alikuwa musimamizi wa mali ya Herode, pamoja na Suzana na wengine wengi. Wanawake hawa walitumia mali yao kwa kuwasaidia Yesu na wanafunzi wake.


Katika siku zile mufalme Herode akaanza kutesa watu wamoja wa kanisa.


Katika kanisa la Antiokia kulikuwa manabii na walimu wamoja. Kati yao kulikuwa Barnaba, Simoni aliyeitwa vilevile Nigeri; Lukio wa Kurene, Saulo na Manaeni, aliyekomaa pamoja na mufalme Herode.


“Ndiyo, ni kweli mufalme Herode, naye mutawala Pontio Pilato walikusanyika katika muji huu pamoja na Waisraeli na watu wa mataifa mengine kwa kufanya shauri baya juu ya mutumishi wako mutakatifu Yesu, uliyemuchagua kuwa Kristo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ