7 Mbegu zingine zikaanguka katikati ya miiba. Ile miiba ikaota na kuzisonga.
Udongo utakuzalia miiba na magugu, nawe utakula majani ya shamba.
Pahali zile mbegu zilipoanguka katika miiba, ni mufano wa wale wanaosikia Neno la Mungu, lakini masumbuko ya dunia hii na udanganyifu wa mali vinasonga lile neno linalokuwa ndani yao na kulizuiza kuzaa matunda.
Wakati jua lilipokuwa kali, likazichoma, na kwa sababu hazikukuwa na mizizi mikubwa, zikakauka.
Lakini mbegu zingine zikaanguka katika udongo muzuri na kutoa matunda: zimoja zikazaa punje mia moja, zingine makumi sita na zingine makumi tatu.
Mbegu zingine zilianguka katikati ya miiba. Ile miiba ikaota na kuzisonga mbegu hata hazikuweza kutoa kitu.
Mbegu zingine zikaanguka katikati ya miiba. Ile miiba ikaota pamoja na mbegu, na kuzisonga.