Matayo 13:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200252 Kisha akawaambia: “Basi, kila mwalimu wa Sheria aliyefundishwa katika Ufalme wa mbinguni, anafanana na mwenye nyumba anayetwaa vitu vipya na vitu vya zamani pamoja toka katika akiba yake.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |