50 Na halafu watawatupa watu wabaya ndani ya furu la moto; na mule watalia na kusaga meno.”
Na yeyote ambaye hatainama chini na kuiabudu, atatupwa mara moja katika furu la moto mukali.
Nao watawatupa ndani ya furu la moto, na mule watalia na kusaga meno.
Yesu akawauliza watu: “Mumeelewa maneno hayo yote?” Nao wakamujibu: “Ndiyo.”
Lakini wale waliopaswa kushiriki katika Ufalme ule watatupwa inje kwenye giza, na kule watalia na kusaga meno.”