Matayo 13:44 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200244 “Ufalme wa mbinguni unafanana na mali iliyofichwa katika shamba moja. Mutu mumoja alipoiona, akaificha tena. Halafu kwa furaha kubwa akaenda kuuzisha vitu vyake vyote na kununua lile shamba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |