Matayo 13:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Muviache vyote viwili vikomae pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati ule nitawaambia wavunaji: muongoe kwanza nyasi, nanyi muzilundike kwa mafungu mafungu kwa kuzichoma, na kisha mukusanye ngano na kuweka mavuno ndani ya gala yangu.’ ” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |