28 Naye akawajibu: ‘Ni adui aliyefanya vile.’ Basi watumishi wakamwuliza: ‘Unataka tuende kuongoa zile nyasi?’
Watumishi wa mwenye shamba wakamwendea na kumwuliza: ‘Ee Bwana, si ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako? Basi nyasi hizi zimetoka wapi?’
Lakini akajibu: ‘Hapana, mukiongoa nyasi, labda mutafikia kuongoa ngano pamoja nazo.
Tunawasihi wandugu, muwaonye wale wanaokuwa wavivu, muwatie moyo wale wanaoregea, muwasaidie wale wanaokuwa zaifu, na mukuwe wavumilivu kwa watu wote.