Matayo 13:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Pahali zile mbegu zilipoanguka katika miiba, ni mufano wa wale wanaosikia Neno la Mungu, lakini masumbuko ya dunia hii na udanganyifu wa mali vinasonga lile neno linalokuwa ndani yao na kulizuiza kuzaa matunda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |