47 Halafu mutu mumoja akamwambia: “Angalia, mama yako na wandugu zako wako inje; wanataka kusemezana nawe.”
Yesu alipokuwa hajamaliza kusema na lile kundi la watu, mama yake na wandugu zake wakafika. Walisimama inje wakitaka kusemezana naye.
Yesu akamujibu mutu yule: “Ni nani ndiye mama yangu, na nani ndio wandugu zangu?”