38 Halafu walimu wamoja wa Sheria na Wafarisayo wamoja wakamwambia Yesu: “Mwalimu, tunataka kuona kitambulisho toka kwako.”
Kwa maana kila mutu atapata sheria au kupata azabu kufuatana na maneno yake.”
Na wengine walitaka kumupima wakimwomba awaonyeshe kitambulisho kinachohakikisha kwamba uwezo wake umetoka kwa Mungu.
Wakati watu wengi walipokuwa wakikusanyika pembeni ya Yesu, yeye akaanza kusema: “Watu wa kizazi hiki kibaya wanataka kuona kitambulisho. Lakini hawataonyeshwa kitambulisho isipokuwa kitambulisho cha Yona.
Basi Wayuda wakamwuliza: “Utaonyesha kitambulisho gani kwa kutuhakikishia kwamba uko na haki ya kufanya hivi?”
Basi Yesu akamwambia: “Ninyi hamuwezi kuamini hata kidogo kama musipoona vitambulisho na maajabu.”
Wakamwuliza: “Basi utatuonyesha kitambulisho gani kusudi tupate kukiona na kukuamini? Utafanya jambo gani?
Wayuda wanaomba kuonyeshwa vitambulisho nao Wagriki wanatafuta hekima.