Matayo 12:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Kila mutu anayesema vibaya juu ya Mwana wa Mutu atasamehewa, lakini kila mutu anayesema vibaya juu ya Roho Mutakatifu, hatasamehewa katika ulimwengu huu, wala katika ule unaokuja. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |