Matayo 12:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Yesu akitambua mafikiri yao, akawaambia: “Watu wa ufalme wowote wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka. Nao wakaaji wa muji wowote au watu wa jamaa yoyote wakigombana wao kwa wao, muji ule au jamaa ile haitadumu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |