Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 12:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Hatabishana wala kupiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake katika barabara.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 12:19
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hatalalamika wala hatapiga kelele, wala hatasema kwa sauti kubwa katika barabara.


Mushangilie sana enyi watu wa Sayuni! Mupige vigelegele, enyi watu wa Yerusalema! Angalia, mufalme wenu anawakujia, anakuja kwa shangwe na ushindi! Ni mupole, amepanda juu ya punda, juu ya mwana-punda, mutoto wa punda.


Mukubali kuongozwa nami kama vile ngombe dume anayefungiwa nira, nanyi mufuate mafundisho yangu maana mimi ni mupole na munyenyekevu. Kwa hiyo mutapumzika.


Hatavunja tete linalokunja, wala hatazimisha taa inayofifia, mpaka aiwezeshe haki kutawala.


Wafarisayo wakamwuliza Yesu: “Ufalme wa Mungu utakuja wakati gani?” Akawajibu: “Ufalme wa Mungu unakuja bila kutambulikana wazi.


Sasa mimi Paulo mwenyewe ninawaomba kwa upole na kwa wema sawa na ule wa Kristo; mimi yule ambaye wanasema juu yake kwamba ni mupole wakati ninapokuwa pamoja nanyi, lakini ni mukali wakati ninapokuwa mbali nanyi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ