Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 11:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Mwana wa Mutu alikuja, yeye anakula na kunywa, nao wanasema: ‘Angalia huyu mulafi na mulevi, rafiki wa walipishaji wa kodi na watenda maovu wenzao.’ Lakini hekima ya Mungu ilionyeshwa kuwa ya haki kwa njia ya matendo yake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 11:19
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe awalipe hayo hao watu wanaonishitaki, hao wanaosema mabaya juu yangu.


Hekima ni mbele ya uso wa mwenye akili, lakini macho ya mupumbafu yanaangalia kwa miisho ya dunia.


maana walevi na walafi wataishia kuwa wamasikini. Usingizi utawavalisha nguo za kupasukapasuka.


Zawadi gani mutapata kutoka kwa Mungu, kama mukiwapenda tu wenye kuwapenda? Hata walipishaji wa kodi wanaokuwa wakorofi wanatendeana vile!


Siku moja ya Sabato, Yesu aliingia katika nyumba ya mumoja wa wakubwa wa Wafarisayo kwa kula chakula. Mule watu wakabaki wakimuchunguza.


Watu wote walioona hayo wakaanza kunungunika wakisema: “Amekwenda kupanga kwa mutenda maovu!”


(Watu wote waliomusikiliza, na walipishaji wa kodi vilevile, wakakubali kwamba Mungu ni mwenye haki, hata wakabatizwa na Yoane.


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Lakini kila mumoja wetu anapaswa kumupendeza mwingine kwa kumutendea mema na kuweza hivi kumujenga katika imani.


wakisema: “Amina! Utukufu, sifa, hekima, shukrani, heshima, uwezo, na nguvu ni vya Mungu wetu, milele na milele! Amina!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ