Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 10:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Muponyeshe wagonjwa, mufufue wafu, mutakase wenye ukoma, mufukuze pepo. Mulipokea bure, mutoe bure vilevile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 10:8
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee ninyi wote wenye kiu mukuje kwenye maji! Mukuje, wote hata musiokuwa na feza; mununue chakula na mupate kula, mununue divai na maziwa. Bila feza, bila malipo!


Lakini wewe peke yako na wana wako mutafanya kazi zote za kikuhani kwa ajili ya mazabahu na vyote vinavyokuwa ndani ya pazia. Hayo ni mapaswa yenu, kwa sababu ninawapa zawadi ya ukuhani. Mutu yeyote asiyestahili atakayekaribia vyombo vya hema, atauawa.


Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili na akawapa mamlaka ya kufukuza pepo na kuponyesha magonjwa yote na uzaifu wa kila namna.


Mutakapokuwa mukienda, muhubiri kwa watu kwamba Ufalme wa mbinguni umekaribia!


Musibebe zahabu, wala feza, wala vikoroti vya shaba ndani ya mikaba yenu.


wakishika nyoka au kunywa sumu yoyote, hawatakufa. Wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”


Muponyeshe wagonjwa wanaokuwa mule na kuwaambia wakaaji: ‘Ufalme wa Mungu umewakaribia ninyi.’


Lakini Petro akamwambia: “Sina mali yoyote, lakini nitakupa kile ninachokuwa nacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ninakuamuru simama utembee!”


Utumie nguvu zako kwa kuponyesha watu, kwa kufanya maajabu na vitambulisho kwa uwezo wa jina la mutumishi wako mutakatifu Yesu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ