35 Kwa maana nimekuja kuleta matengano kati ya mutu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mukwe na mama mukwe;
“Ndugu atamutoa ndugu, kusudi auawe, na baba atamutoa mutoto wake, nao watoto watawageukia wazazi wao na kuwaua.
Kwa wakati ule watu wengi wataanguka katika imani yao; watatoana wao kwa wao na kuchukiana.
Ndugu atamutoa ndugu, kusudi auawe, na baba atatoa mutoto wake, nao watoto watawageukia wazazi wao na kuwaua.
Baba atapingana na mwana wake, na mwana atapingana na baba yake. Mama atapingana na binti yake, na binti atapingana na mama yake. Mama mukwe atapingana na muke wa mutoto wake, na muke yule atapingana na mama mukwe yake.”
Mutatolewa hata na wazazi wenu, wandugu zenu, na watu wa jamaa zenu pamoja na warafiki zenu. Nao watawaua wamoja kati yenu.