Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 10:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Neno ninalowaambia katika giza, muliseme muchana kati. Vilevile neno munalosikia kwa siri, mulitangaze mukisimama juu ya paa ya nyumba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 10:27
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ujumbe wa Mungu juu ya Bonde la Maono. Kuna nini, ee Yerusalema? Mbona watu wote mumepanda juu ya nyumba?


Atakayekutiwa juu ya paa la nyumba asishuke ndani yake kwa kutwaa kitu.


Ni hivi maneno yote mutakayosema katika giza yatasikilika muchana kati. Vilevile maneno yote mutakayosema kwa siri ndani ya chumba chenye kufichama, yatatangazwa juu ya paa la nyumba.


Akawajibu: “Ninyi mumefunuliwa kujua siri ya Ufalme wa Mungu, lakini kwa watu wengine si vile. Wao wanaambiwa maneno hayo kwa njia ya mifano, kusudi waangalie, lakini wasione kitu, nao wasikie, lakini wasifahamu kitu.”


“Nimewaambia maneno hayo, kusudi musikwazwe katika imani yenu.


Lakini wakati yule Roho wa ukweli atakapokuja, atawaongoza ninyi kufuata ukweli wote kabisa. Yeye hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, lakini atasema tu yale atakayosikia, naye atawatangazia ninyi habari za mambo yatakayokuja.


“Nimewaambia ninyi maneno hayo kwa mifano. Lakini kutakuwa wakati sitasema nanyi tena kwa mifano, lakini nitawaambia ninyi waziwazi juu ya Baba.


Basi wanafunzi wake wakamwambia: “Sasa unasema waziwazi pasipo kutumia mifano.


Alikuwa akibishana na Wayuda katika nyumba ya kuabudia pamoja na watu wa mataifa mengine walioogopa Mungu. Vilevile alibishana kila siku na watu aliowakuta kwenye nafasi ya makutano.


“Mwende ndani ya hekalu na mutangaze kwa watu maneno yote yanayoelekea uzima mupya.”


akiwaambia: “Tuliwakataza kwa nguvu musifundishe tena kwa jina la mutu huyu. Na sasa mumeeneza mafundisho yenu katika Yerusalema yote, nanyi munataka kutubebesha lazima ya kifo chake.”


Na kwa sababu tunakuwa na tumaini lile, sisi tunasema kwa uhodari.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ