11 “Mutakapoingia katika muji au katika kijiji, mutafute mutu anayekuwa tayari kwa kuwakaribisha, nanyi mukae kwake mpaka mutakapotoka kule.
Musafiri hakulala inje ya nyumba yangu; nilimufungulia mulango mupita njia.
Vilevile musibebe mifuko, kanzu mbili, viatu wala fimbo, kwa sababu mutumishi anastahili kupewa posho lake.
Mutakapoingia ndani ya nyumba, muwasalimie watu wanaokuwa mule, mukisema: ‘Amani kwenu.’
Akawaambia tena: “Nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba, mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.
Watu wote walioona hayo wakaanza kunungunika wakisema: “Amekwenda kupanga kwa mutenda maovu!”
Na nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.
Kisha yeye na watu wa nyumba yake wakabatizwa. Naye akatusihi akisema: “Ikiwa munakubali kweli kwamba ninamwamini Bwana, basi mufike mupange ndani ya nyumba yangu.” Akatulazimisha tuitike.