40 Ni vile kwa maana asiyekuwa adui yetu, ni wa upande wetu.
“Asiyekuwa wa upande wangu ni adui yangu; na asiyekusanya pamoja nami, anasambaza.
Lakini Yesu akajibu: “Musimukataze, kwa maana hakuna mutu anayefanya miujiza kwa jina langu, ambaye anaweza nyuma kidogo kusema vibaya juu yangu.