Kwa sababu hii ninataka mufahamu kwamba hakuna mutu ambaye anaongozwa na Roho wa Mungu anayeweza kusema: “Yesu alaaniwe,” na hakuna mutu anayeweza kusema: “Yesu ni Bwana,” kama asipoongozwa na Roho Mutakatifu.
Basi si kitu! Ikiwa nia yao ni mbaya au ni nzuri habari za Kristo zinatangazwa kwa namna mbalimbali, kwa hiyo ninafurahi. Na nitaendelea kufurahi tena,