30 Yesu na wanafunzi wake wakatoka kule na kupitia jimbo la Galilaya. Yesu hakutaka mutu ajue pahali walipokuwa,
Yesu akawajibu: “Pepo wa namna hii wanaweza kufukuzwa tu kwa njia ya maombi.”
Yeye hayuko hapa; amefufuka! Mukumbuke jinsi alivyowaambia wakati alipokuwa angali Galilaya.