16 Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Munabishana nao juu ya nini?”
Wafarisayo wakamufikia Yesu na kuanza kubishana naye. Wakamupima wakimwomba awaonyeshe kitambulisho kinachohakikisha kwamba uwezo wake umetoka kwa Mungu.
Mara moja, watu walipomwona Yesu, wakashangaa sana, wakakimbia kwenda kumusalimia.
Na mutu mumoja kati ya kundi akamujibu: “Mwalimu, nimemuleta mwana wangu kwako, kwa maana yuko na pepo wa bubu.