Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 9:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Waliporudi kwenye wanafunzi wengine, wakaona kundi la watu wengi wakiwazunguka na walimu wa Sheria wakibishana nao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 9:14
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakamwuliza: “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka haya?”


Walipomufikia, wakamwuliza: “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mutu wa kweli. Vilevile haushuguliki na mafikiri ya mutu lakini unafundisha kwa ukweli njia Mungu anayoamuru kufuata. Utuambie basi, Sheria inaturuhusu kulipa kodi kwa Mufalme wa Roma au hapana? Ni sherti tulipe au hapana?”


Walimu wamoja wa Sheria walioikaa pale wakajiuliza:


Lakini ninawaambia kama Elia amekwisha kurudi, na watu walimutendea yote waliyotaka, kama Maandiko yanavyosema juu yake.”


Kwa muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akiingia katika nyumba ya kuabudia na kuhubiri watu kwa uhodari. Akabishana nao juu ya habari za Ufalme wa Mungu, akitaka wazisadiki.


Kwa hiyo mumukumbuke yule aliyevumilia kutendewa na wenye zambi kwa chuki kubwa, kusudi musipate kuchoka wala kuregea.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ