Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 8:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 8:36
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Shetani akamujibu Yawe: “Ngozi kwa ngozi! Mutu anatoa kila kitu anachokuwa nacho kusudi aokoe maisha yake.


Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.


Usihangaike ukiona mutu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.


Ninyi mumesema: Kumutumikia Mungu hakuna faida. Kuna faida gani kuyatii maagizo ya Yawe wa majeshi, au kujaribu kumwonyesha kwamba tumekosa mbele yake kwa kutembea kama watu wanaoomboleza?


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


Kwa maana mutu anayetaka kulinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, ataulinda.


Hakuna kitu chochote mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake mwenyewe au kujiangamiza?


Basi mulipata faida gani kwa kufanya mambo yale munayopata haya juu yake sasa? Maana mwisho yao ni kifo!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ