Marko 8:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Kisha Yesu akaita kundi la watu pamoja na wanafunzi wake, na kuwaambia: “Kama mutu akitaka kunifuata, asijishugulikie mwenyewe, lakini ajitolee kwa kubeba musalaba wake na kunifuata. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |