Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 8:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kipofu akainua macho yake na kusema: “Ninaona watu wakitembea, lakini wanaonekana kama miti.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 8:24
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


Macho ya wanaoona hayatapofushwa tena, masikio ya wanaosikia yatabaki wazi.


Yesu akashika mukono wa yule kipofu na kumupeleka inje ya kijiji. Yesu alipokwisha kupakaa mate kwa macho ya mutu yule na kuweka mikono juu yake, akamwuliza: “Unaona kitu?”


Yesu akagusa tena macho ya yule kipofu, naye akapata kuona vizuri. Macho yake yakapona, na kupata kuona vitu vyote waziwazi.


Gali alipowaona, akamwambia Zebuli: “Angalia, watu wanashuka kutoka vilele vya mulima.” Zebuli akamwambia: “Wewe unaona vivuli vya milima sawa vile ni watu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ