Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Marko 7:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Hivi munazarau Neno la Mungu kwa ajili ya desturi zenu munazopokezana. Nanyi munafanya mambo mengine mengi ya namna ile.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Marko 7:13
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwangaza. Lakini ninyi mushike lile agizo na mafundisho ya Mungu.


Lakini kama mutu yule akiwa na mutoto ambaye ameona zambi ambazo baba yake alitenda, lakini yeye hatendi mabaya yale, hatakufa juu ya uovu wa baba yake. Ni mutoto anayetenda hivi: hakuli sadaka kwenye milima, haziangalii sanamu za miungu ya Waisraeli, hamuchafui muke wa jirani yake, hamutendei mutu yeyote ubaya, hakamati rehani, haibi, anawapatia wenye njaa chakula na kuwavalisha wale wanaokuwa uchi, anaepuka kutenda uovu, anakopesha bila kudai faida wala kujipatia mazidio, anatii maagizo yangu na kufuata masharti yangu.


Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.


basi, hapaswi tena kumusaidia baba yake. Hivi munazarau Neno la Mungu kwa kufuata desturi zenu.


Kisha Yesu akaita tena kundi la watu na kuwaambia: “Ninyi wote munisikilize na kuelewa maneno haya.


Ilikuwa vile kwa maana Wafarisayo na Wayuda wote wanashika desturi za babu zao; zinazokataza kula pasipo kunawa mikono kama inavyostahili.


Basi Wafarisayo na walimu wa Sheria wakamwuliza Yesu: “Sababu gani wanafunzi wako hawafuati desturi za babu zetu, lakini wanakula chakula na mikono michafu?”


Munajua vizuri namna ya kutupilia amri za Mungu kusudi mushike desturi zenu!


Nami niliendelea vizuri sana katika dini ya Kiyuda kuwapita watu wote wengine wa kabila langu wenye umri wangu, nikijikaza sana kushika desturi za babu zetu.


chuki, uuaji, ulevi, ulafi, na mambo mengine yanayofanana na hayo. Ninawaonya tena kama vile nilivyowaonya mbele, kwamba watu wanaotenda mambo kama hayo hawatashiriki katika Ufalme wa Mungu.


Na zaidi ya ile hawatafuata hadisi za uongo za Kiyuda wala maagizo ya watu waliopotoka mbali na ukweli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ