Marko 7:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Hivi munazarau Neno la Mungu kwa ajili ya desturi zenu munazopokezana. Nanyi munafanya mambo mengine mengi ya namna ile.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kama mutu yule akiwa na mutoto ambaye ameona zambi ambazo baba yake alitenda, lakini yeye hatendi mabaya yale, hatakufa juu ya uovu wa baba yake. Ni mutoto anayetenda hivi: hakuli sadaka kwenye milima, haziangalii sanamu za miungu ya Waisraeli, hamuchafui muke wa jirani yake, hamutendei mutu yeyote ubaya, hakamati rehani, haibi, anawapatia wenye njaa chakula na kuwavalisha wale wanaokuwa uchi, anaepuka kutenda uovu, anakopesha bila kudai faida wala kujipatia mazidio, anatii maagizo yangu na kufuata masharti yangu.